Header Ads

Kilichojiri Kwenye Siku Ya Mwisho Ya Dirisha Dogo la Usajili Barani Ulaya

Siku Ya Mwisho ya usajili ni siku amabayo wachezaji wengi wanahama sana kutoka timu moja kwenda timu nyingine, Jana ilikuwa ni siku ambayo wachezaji wengi wamehamia timu mpya ili kusaka changamoto mpya kwenye vilabu vyao vipya

1. Pierre Emerick Aubameyang
Aubameyang kutoka Borussia Dortmund Kwenda arsenal Arsenal kwa dili la Paundi Million 56 kwa mkataba wa muda mrefu.
Image result for aubameyang to arsenal

2. Olivier Giroud;
Klabu Ya Soka Ya Arsenal  Imeuza Jumla Ya wachezaji wanne katika dirisha hili la usajili amabao ni Theo Walcott, Francis Coquelin, Alexis sanchez na Olivier Giroud aliyejiunga na mahasimu wao Chelsea kwenye siku ya mwisho ya usajili hapo jana kwa dau la paundi million 18 na amesaini mkataba wa miezi 18 kuitumikia klabu hiyo yenye maskani yake pale Stamford Bridge
Image result for giroud to chelsea

3. Michy Batshuayi;
Mchezaji wa kimataifa kutoka ubelgiji anayekipiga katika klabu ya chelsea Michy Batshuayi Anetimkia Kwenye klabu ya Borussia Dortmund kwa mkopo kuziba pengo la Aubameyang aliyetimkia Arsenal

Image result for mitch batshuayi
4. Lucas Moura Atua Tottenham Hotspurs; Kiungo huyo amekamilisha usajili jana akitokea klabu ya soka ya PSG na  Kutua Jijini London kwa Dau la Paund million 25

Image result for lucas moura

Baadhi Ya wachezaji Wengine waliohama ni:-

Eliquilam Mangala Kutoka Manchester City Kwenda Everton Kwa Mkopo

Jordan Hugil kutoka Preston kwenda West Ham United

Andy King Kutoka Leicester city Kwenda Swansea Kwa Mkopo

Slimani Kutoka Leicester city Kwenda Newcastle United 

Mitrovic Kutoka Newcastle kwenda Fulham Kwa Mkopo

Alexander Soloth Kutoka Midtjylland Kwenda Crystal Palace 

Martin Dubravka Kutoka Sporting Prague kwenda Newcastle United 

Badou Ndiaye Kutoka Galatasaray Kwenda Stoke City



No comments

Powered by Blogger.