Header Ads

MAN UNITED YAANZA KWA KASI MSIMU MPYA WA LIGI KUU YA UINGEREZA



Straika wa Romelu Lukaku akishangilia baada ya kutupia dhidi ya West Ham United katika Ligi Kuu ya England ‘Premier League’.

Pogba na Lukaku wakipongezana.

Paul Pogba akishangilia mbele ya Mashabiki Wa Man United Baada Ya Kufunga Goli La 4 Dhidi Ya West Ham
Joe Hart VS Juan Mata

Straika wa Romelu Lukaku ameanza vizuri maisha ya Manchester United baada ya kuiongoza timu yake hiyo kupata ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya West Ham United katika Ligi Kuu ya England ‘Premier League’.

Lulaku ambaye alikuwa akicheza mchezo wake wa kwanza wa Premier League akiwa na kikosi chake hicho kipya, alionyesha uwezo mzuri na kutupia mabao mawili hivyo kuwa na mwanzo mzuri.
Lukaku alifunga mabao yake katika dakika ya 33 na 52 wakati bao la tatu liliwekwa wavuni na Anthony Martial katika dakika ya 87 baada ya kuingia akitokea benchi pamoja na Paul Pogba dakika ya 89 ambapio alipiga shuti kali lilijaa wavuni kutoka nje ya eneo la 18.


KIKOSI CHA MANCHESTER UNTIED: De Gea, Valencia, Blind, Jones, Bailly, Matic, Pogba, Mkhitaryan (Lingard 88), Mata (Fellaini 76), Rashford (Martial 80), Lukaku.

SUBS NOT USED: Romero, Darmian, Smalling, Herrera.


GOALS: Lukaku 33, 53; Martial 87; Pogba 90


BOOKINGS: Bailly, Valencia

KIKOSI CHA WEST HAM: Hart; Zabaleta, Reid, Ogbonna, Masuaku (Cresswell 81); Noble (Rice 61), Obiang; Fernandes (Sakho 60), Arnautovic, Ayew; Hernandez.

SUBS NOT USED: Bryam, Collins, Fonte, Adrian.


BOOKINGS: Zabaleta, Ogbonna

REFEREE: Martin Atkinson


No comments

Powered by Blogger.