Tundu Lissu Apigwa Risasi Akiwa Nyumbani Kwake Dodoma
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antipas Lissu amekimbizwa hospitali mchana huu baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana leo mchaa akiwa nyumbani kwake Mkoani Dodoma.

Kwa mujibu wa taarifa zilizopo ni kwamba amekimbizwa hospitali na sasa yupo chumba cha upasuaji.
Endelea kufuatilia ukurasa huu kwa ajili ya kufahamu taarifa zaidi.
Endelea kufuatilia ukurasa huu kwa ajili ya kufahamu taarifa zaidi.
Kwa upande wa mwanasiasa wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe Ruyagwa amewataka watanzania kuendelea kumuomba mwanasiasa huyo ambaye ni Mbunge wa Singida.
“Tumwombee Tundu Lissu. Kila mtu aombe Kwa imani yake. Mungu ampe nafuu inshallah,” alitweet Zitto.
No comments